Tuesday, November 24, 2015


Michuano ya CECAFA CHALENJI CUP inaendelea kushika kasi huko Ethiopia, huku Malawi ikiifunga Sudan 2-1.
Hapo jana pia Timu ya Sudan kusini iliichapa Djibouti Bao 2-0.

Leo Jumanne, Zanzibar Heroes watacheza na Uganda ambao walichapwa 2-0 na Kenya zikiwa ni Mechi za Kundi B, Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars watavaana na Rwanda.

0 comments:

Post a Comment