Mdada kutoka pande za Zanzibar, Baby J usiku wa kuamkia leo alilipamba onesho la Yamoto Band na kuzua gumzo kufuatia bonge la burudani aliloporomosha kabla ya bendi hiyo kuwanogesha kwa burudani mashabiki waliofurika ukumbini hapo.
Katika onesho hilo lililofanyika kiwanja cha taifa cha burudani cha Dar Live kilichopo Mbagala – Zakhem jijini Dar, mashabiki walionekana kurukaruka kwa burudani hiyo mpaka majogoo.
0 comments:
Post a Comment