Posted by Williammalecela.com on Tuesday, December 22, 2015
Mwanadada
kiwango wa Bongo flava Shilole, ameamua kuvuka Boda mpaka Nigeria
kurekodi ‘ngoma’ na mtayarishaji aliyemtoa Yemi alade aitwae Selebobo.
Selebobo amegusa Nyimbo kadhaa kama Johnny ya Yemi Alade, Bikoo na nyingine kadhaa.
Shishi hajaweka bayana zaidi kuhusiana na ‘mkwaju’ huo.
0 comments:
Post a Comment