Kiukweli huwa mara nyingi sielewi ni kwa nini watu huniuliza kwa kutaka kuconfirm juu ya bifu kati yangu na @shaa_tz coz ni hakuna ila huwa ninawajibu ukweli kwamba hakuna na huwa tunawasiliana kwa simu most of the times though hatuna ukaribu kama kipindi cha mwanzo cha wakilisha ama kama msanii mwenzngu ila tuko poa, but ukweli ni kwamba Mimi ndo huwa ninampigia simu, kumtext pamoja na kumpa hongera ya nyimbo kadhaa alizowahi toa na mungu ni shahidi Wangu, ila tukikutana live tunachekeana vizuri na kufurahiana but Leo nimegundua patakua na vita baridi nisiyo ijua, coz kiukweli @shaa_tz ninampenda sana kama Mdogo Wangu na ndugu yangu kwetu kumoja ila this week nimemtafuta hewani sana tu kiukweli kwa kuwa nimemmiss mno na nilitaka kumuuliza kama we could go out for dinner ama whatever so that we can catch up! But haikua hivyo coz hapokei simu zangu mpaka nikaamua nimtext ya kwamba ni mimi lakini hakunijibu nikapita insta na kumtag kwenye one of the posts zilizoandikwa mtag MTU uliye mmiss nikadhani ataresspond but kimya now nimeamua kumuuliza, mbona unakuwa kama MTU kwenye kinyongo na Mimi ama MTU kwenye vita baridi na mimi kama hutaki kuwasiliana nami niambie ili nikudelete kichwani mwangu though upendo Wangu kwako ntashindwa kuudelete coz it goes deep nnajua ujumbe huu utakufikia (usiwe kama watu wanaotembelea nyota za wenzao na wamepewa masharti na mganga ya kuwa ukiwasiliana na unayetumia nyota yake basi umaarufu na fedha ulizonazo vyote vitapotea) samhani lakinA photo posted by Witnesz Kibonge Mwepec (@witnesz_kibongemwepec) on Jan 26, 2016 at 7:00pm PST
Kiukweli huwa mara nyingi sielewi ni kwa nini watu huniuliza kwa kutaka kuconfirm juu ya bifu kati yangu na @shaa_tz coz ni hakuna ila huwa ninawajibu ukweli kwamba hakuna na huwa tunawasiliana kwa simu most of the times though hatuna ukaribu kama kipindi cha mwanzo cha wakilisha ama kama msanii mwenzngu ila tuko poa, but ukweli ni kwamba Mimi ndo huwa ninampigia simu, kumtext pamoja na kumpa hongera ya nyimbo kadhaa alizowahi toa na mungu ni shahidi Wangu, ila tukikutana live tunachekeana vizuri na kufurahiana but Leo nimegundua patakua na vita baridi nisiyo ijua, coz kiukweli @shaa_tz ninampenda sana kama Mdogo Wangu na ndugu yangu kwetu kumoja ila this week nimemtafuta hewani sana tu kiukweli kwa kuwa nimemmiss mno na nilitaka kumuuliza kama we could go out for dinner ama whatever so that we can catch up! But haikua hivyo coz hapokei simu zangu mpaka nikaamua nimtext ya kwamba ni mimi lakini hakunijibu nikapita insta na kumtag kwenye one of the posts zilizoandikwa mtag MTU uliye mmiss nikadhani ataresspond but kimya now nimeamua kumuuliza, mbona unakuwa kama MTU kwenye kinyongo na Mimi ama MTU kwenye vita baridi na mimi kama hutaki kuwasiliana nami niambie ili nikudelete kichwani mwangu though upendo Wangu kwako ntashindwa kuudelete coz it goes deep nnajua ujumbe huu utakufikia (usiwe kama watu wanaotembelea nyota za wenzao na wamepewa masharti na mganga ya kuwa ukiwasiliana na unayetumia nyota yake basi umaarufu na fedha ulizonazo vyote vitapotea) samhani lakin
A photo posted by Witnesz Kibonge Mwepec (@witnesz_kibongemwepec) on Jan 26, 2016 at 7:00pm PST
0 comments:
Post a Comment