Friday, January 29, 2016




Mh Kubenea ameomba mwongozo ambao kwamba wabunge wanawake waliotolewa na polisi bungeni juzi walisachiwa na askari wa kiume, wakavuliwa chupi zao, wakavuliwa shanga zao.... Wakati akiendelea walilipuka wabunge wanawake kwa makelele ya kudai kudhalilishwa. Spika ilibidi amkatize.

0 comments:

Post a Comment