Mh Kubenea ameomba mwongozo ambao kwamba wabunge wanawake waliotolewa na
polisi bungeni juzi walisachiwa na askari wa kiume, wakavuliwa chupi
zao, wakavuliwa shanga zao.... Wakati akiendelea walilipuka wabunge
wanawake kwa makelele ya kudai kudhalilishwa. Spika ilibidi amkatize.
0 comments:
Post a Comment