CONGRATULATIONS CEO......
![]() |
| Lovely |
![]() |
| stunning |
![]() |
| Vero salon mlitisha ktk swala la nywele, utaalamu tuu... |
![]() |
| dress by the special Dsm |
![]() |
| friends |
Beauty+Brain= CEO
AnonymousJanuary 14, 2016 at 8:26 PMcogratulation to u sintah uko tunakokwenda maisha bila elimu yatakuwa magumu sanaReply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 8:34 PMhongeraa mamaa diplomat elimu elimu elimu haya sasa ikukomboe sawa eeh? sio uishie kuja kutuuzia kwenye maronya ronya na vilipstic hapa huku ukiwa umehifadhi vyeti uvungunii.. na wale wauza virginal endeleeni kuuza na kubadili mibolo kila siku hamjui miboo inazeesha eeh? uza sana manake hakuna namna miss role model yani badilisha mboo sana k yako mwenyeweee wala hukuazima tiwa mama tiwaaa….Reply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 8:38 PMhongera!Reply
labda utapunguza kuandika umbea mbea! tutaona kuanzia jumatatu kama utaandika mapoint tutajua umegraduate mind pia!!! tehee teehee
AnonymousJanuary 14, 2016 at 9:16 PMkumbe kweli ulikua unasoma,na kisomo chako chote bado huna kazi unablogua tu?makubwa haya.visomo vya kulala na malecturer ili upate vyeti lkn kukifanyia kazi cheti ndio kushineh..tafuta kazi basi kwenye ma ngo ndo tukuone kweli ww msomiReply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 9:24 PMmakeup haijakukaa vizuri imekupausha then ukoanekana kama umezeeka vile, next time chagua makeup nzuri.Reply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 9:49 PMHongera sana kwa kuhitimu. Sasa jitahidi na kwenye kuandika na kuweka koma,nukta na herufi kubwa mwanzo wa sentensi au baada ya nukta vinakushinda.Jitahidi uandike kama msomi.Reply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 10:07 PMhongera mwaya, n makeup by urself chaaa pua imegoma contouring usoni shagalabagala!!!, wish ur education will not only put food on the table for ur family but also help society as u have blog it may one wisdom words from u can make change for some people n not insulting peoples as ur very good at it,,, anduuu "hubby" hajaja kwenye graduation wapi pichoo!!!??Reply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 10:17 PMhongera sinta iron lady wachache wapo kama wewe mwanamke elimuReply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 10:18 PMHongera mwaya sintah, naona umeamua sasa, kila la heri na Mungu akusimamie. Naona watu amekaa kimya leo hawachambi maana hawana la kuchamba, ila binadamu hatukosagi la kusema, badala ya kukupa hongera watakuja hapa kuandika shombo, ila langu kwa leo ni neno hongera tu my dear.Reply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 10:38 PMniisubili kwa ham sana hii post hongera hongera kwa upendeleo tu nijibu nijione super starReply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 10:56 PMHongera Sinta. Onesha mfano kwa mabinti wanaopenda vya bure wasiotaka kusoma. Sijui umesomea nini but whatever it is may God bless your career. Comment by #WOMENWITHPOSITIVEMINDReply
AnonymousJanuary 14, 2016 at 11:03 PMHongera SintahReply
Elimu haina mwisho
Bora uloongeza ujuzu na Elimu ya umbea
Mungu kakufungulia umepata degreee ya unafiki na umepewa cheti chenye shahada za wivu kwa maisha ya wenzio
Nakuombea kila la kheri ujiajiri ktk mema sio uakuandika yule kachukua bwana wakati wewe mwenyewe sawa na bajaji
Hongera kwa kumaliza masomo yako bi chakunabe


AnonymousJanuary 15, 2016 at 12:43 AMCongs Sintalicious . Yeah Beauty and Brains make an attractive woman!Reply
AnonymousJanuary 15, 2016 at 1:42 AMWatu humu wanapenda ku comment sinta acha umbea, mara acha kuandika ya watu wakati wao wenyewe kinachowaleta huku ni kusoma umbea na kuhukumu wenzao. Naona wengi hawajui maana ya blogging. Anyway Sinta big up, endelea ku blog, I hope saive utaboresha blog yako jaribu kuweka vidude vya like na dislike. As a blogger usipendelee wala kuonea wala kuogopa mtu.....blog wisely na be more creative katika uandishi wako tafadhali. Hakuna mtu alie perfect inajulikana lakini katika kurekebisha wadogo zetu ambao siku izi wanajiuza sana na wameharibiwa na social media jaribu ku blog kwa kuwashauri zaidi ya kuwahukumu. Alafu pia uwe unatembelea blog za nchi za nje..Nigeria, Kenya, USA, SA n.k ili ujifunze mbinu tofauti za blogging za wenzetu. Ukiufata huu ushauri wa msomi mwenzako utafika mbali i tell u, blogging pays alot if your serious. Love you Sinta and all the best.Reply
AnonymousJanuary 15, 2016 at 4:40 AMCongratulations dear...Unastahili pongezi dear.. af humu watu wakuda.. mfyuuuReply








