Sunday, January 10, 2016

Wastara ni Mwigizaji wa Bongo Movie, kulikuwa na picha chache zikizunguka mitandaoni zikimwonesha Wastara akifunga ndoa mtu aliyetajwa kuwa ni Mbunge, ninazo picha pamoja na maneno yake akithibitisha nda yake mpya.

0 comments:

Post a Comment