Posted by Williammalecela.com on Thursday, February 04, 2016
 |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh. Amos Makalla azindua kampeni ya mkoa ya kupanda miti
kijiji cha Mbomai tarafa ya Tarakea na kukagua mashamba ya mfano ya
mahindi kuhamasisha kilimo bora na uhifadhi wa mazao Ameagiza kila wilaya ipande miti1.5m na amewataka wananchi kulinda na kutokuchoma moto msitu wa mlima Kilimanjaro Aidha amewapongeza wananchi kwa kulima kwa bidii na amewataka kila kaya ijiwekee akiba ya chakula na wauze ziada tu. |
0 comments:
Post a Comment