Posted by Williammalecela.com on Monday, February 15, 2016
 |
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh. Amosa Makalla afunga Mafunzo ya Vijana 550 wa bodaboda
wilaya ya Mwanga. Amtaka mkurugenzi kuwawezesha vikundi vya Vijana na
akinamama asilimia 10 ya mapato ya ndani Ameliagiza jeshi la polisi kupunguza urasimu wa leseni kwa Vijana walihitimu Mafunzo ya bodaboda. |
0 comments:
Post a Comment