Inawezekana umekutana nazo hizi picha zikionyesha ajali ambayo inadaiwa imetokea eneo la Msata, Pwani ikihusisha basi la kampuni ya Ngorika na lingine la Ratco kugongana uso kwa uso.
Bado taarifa kamili hazijapatikana hivyo endelea kuwa karibu namillardayo.com kuzipata.
CHANZO NA millardayo.com
0 comments:
Post a Comment