Ivi
unajisikiaje kuzungumzia..kufikilia..au ata mwombe a baya m2 ambae
huwezi kua yeye duniani na akhela...yaani awe amekufa..yuko jela..au
hospital ......so am still Grace ever####
Grace Mbiro Mama naona wananichokoraaa sana Damares Moshi
Amina Simba Pole mwAya
Grace Mbiro Thanks amina wangu Amina Simba
Aisha Iddi Watu
wanafki sana ulikua unaomba pesa kila kukicha Leo umejidhilishia kwamba
wewe mnafki, mbea, na mtunzi wa maneno tumekustukia siku nyingi
sanaaaaa kwendraaaaaaaa
Macrina Mhagama Ndio
siku zote wanaacha kufanya yao kazi mikunduuu juuu kuchunguza ya watu
hata wakuombee mabaya mbele ya mungu hayakukuti watabaki nalbda na haibu
tu tumewazoea waombea mabaya tunawajua tumewaweka kwenye mabano
Grace Mbiro Kutwa kunitumia msg mara naomba elfu 5 mara elfu 10 mara nilipie milion nilikua na kuchola Habiba Kisiwa
Aisha Iddi Macrina Mhagama na kuona unakula ubuyu umemuona mnafki anayevaa ngozi ya kondooo wakati ni chui paka wewe
Charity Maryani Pole mwaya dada angu binaadamu hatuishiwi chokochoko we kma vipi funga vioo
Grace Mbiro Wapumbavu tuuu Charity Maryani
Gift Omary Kanondo Hawajiielewi
Grace Mbiro Umeonaa Gift Omary Kanondo








0 comments:
Post a Comment