Wednesday, February 8, 2017


Nyota wa klabu ya Bayern Munich Philipp Lahm ametangaza kustaafu kuchgeza sokaifikapo mwishoni mwa msimu huu wa 2016/2017.

Lahm mwenye umri wa miaka 33, aliiongoza Ujerumani kama nahodha katika fainali za kombe la dunia za mwaka 2014 zilizofaznyika nchini Brazil na kukamilika kwa Ujerumani kubeba taji la Dunia.


Akitangaza nia yake ya kustaafu kuchgeza soka, Lahm amesema licha ya kuweka hadharani mpango wake huo atahakikisha anatekeleza vyema majukumu yake yote awapo uwanjani.

Kwa upande wa timu ya taifa alitangaza kutundika kustaafu mwaka 2014 mara tu baada ya kukamilika kwa fainali hizo.


Tazame video ya Philip Lahm akionyesha ujuzi wake uwanjani.


0 comments:

Post a Comment