Wimbo uliopigwa wakati wa michuano
hiyo ulijumuisha maneno Ujermani, Ujermani katika ubeti wa kwanza, hali
iliyowapelekea mashabiki wa Ujerumani pamoja na wachezaji kukasirika kutokana
na kitendo hicho.
Katika taarifa toka USTA kwenda
Ujerumani imesema tatizo hilo halitajirudia tena.
Wimbo wa taifa wa rasmi wa
Ujerumani ulianza kutumika mwaka 1920 lakini baadae ulibadilika mara baada ya
kumalizika kwa vita kuu ya pili ya dunia.


0 comments:
Post a Comment